Sakata la vyeti feki lazua taharuki

In Kitaifa

Sakata la vyeti feki vya kielimu na taaluma kwa watumishi wa umma, limezua taharuki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kubainika kuwapo kwa watumishi 134 wasio na sifa.
Imeelezwa kuwa wengi wa watumishi hao, wamenaswa katika Idara ya Dharura na wodi zikiwamo za Wazazi na Mwaisela.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili Prof Lawrance Museru, wafanyakazi hao waliokutwa na vyeti feki, wametakiwa kuondoka sehemu zao za kazi mara moja kuanzia jana.
Taarifa hiyo imeonyesha eneo lililoathirika zaidi kwa watumishi wake wengi kubainika wamefoji vyeti, ni wa Idara ya Dharura ya Utoaji Dawa ambayo watumishi 20 wamenaswa na kutakiwa kuondoka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu