Sakata la vyeti feki lazua taharuki

In Kitaifa

Sakata la vyeti feki vya kielimu na taaluma kwa watumishi wa umma, limezua taharuki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kubainika kuwapo kwa watumishi 134 wasio na sifa.
Imeelezwa kuwa wengi wa watumishi hao, wamenaswa katika Idara ya Dharura na wodi zikiwamo za Wazazi na Mwaisela.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili Prof Lawrance Museru, wafanyakazi hao waliokutwa na vyeti feki, wametakiwa kuondoka sehemu zao za kazi mara moja kuanzia jana.
Taarifa hiyo imeonyesha eneo lililoathirika zaidi kwa watumishi wake wengi kubainika wamefoji vyeti, ni wa Idara ya Dharura ya Utoaji Dawa ambayo watumishi 20 wamenaswa na kutakiwa kuondoka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu