Saudia ndio mfadhili mkuu wa watu wenye misimamo mikali ya kidini nchini Uingereza

In Kimataifa

Saudia ndio mfadhili mkuu wa watu wenye misimamo mikali ya kidini nchini Uingereza kulingana na ripoti mpya.

Ripoti hiyo ya Henry Jackson Society imesema kuwa, kuna ushirikiano wa wazi kati ya mashirika ya Kiislamu, yanayotoa ufadhili kwa wahubiri wenye chuki na makundi ya kijihad yanayokuza ghasia.

Idara ya maswala ya kigeni ilitaka kuchunguzwa kwa jukumu la Saudia na mataifa mengine ya Ghuba.

Ubalozi wa Saudia nchini Uingereza umesema kuwa, madai hayo ni ya uongo dhidi yao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu