Selasini aeleza chanzo kifo cha Kaka yake.

In Kitaifa


Mwanasheria na Mwanasiasa mkongwe nchini Dk Masumbuko
Lamwai, amefariki dunia majira ya saa 6 usiku wa kuamkia leo.
Dk Masumbuko aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo,
lakini pia aliwahi kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais.


Na kama hukuwa ukifahamu ni kwamba Dk Masumbuko ni
ndugu na Mbunge wa Rombo kupitia Chadema Joseph Selasini,
amemzungumzia kwa kina Dkt
Masumbuko Lamwai na kusema afya yake ilidhoofika kipindi
cha wiki mbili zilizopita na baadaye akashikwa na Malaria kabla
ya umauti kumfika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu