Serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Libya, imepinga kuachiliwa kwa mwana wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Kanali Gaddafi.

In Kimataifa

Serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Libya, imepinga kuachiliwa kwa mwana wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Kanali Gaddafi.

Seif Al Islam Gaddafi, alikuwa amezuiliwa na kundi la wanamgambo katika mji ulio magharibi wa Zintan.

Amekaa gerezani kwa muda wa miaka 6 kufuatia mapinduzi yaliyomundoa madarakani babake mwaka 2011, na aliachiliwa baada ya kupewa msamaha.

Kuachiliwa kwa Bwana Al Seif Al Islam huenda kukazua msukosuko zaidi katika nchi hiyo ambayo tayari imegawanyika.

Kwa wale waliokusanyika Tripoli miaka 6 iliyopita kuitisha uhuru, itakuwa ni kama hujuma kwao.

Lakini wengi wa wale waliohojiwa mjini Tripoli walikaribisha kuachiliwa kwa Seif Al Islam.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu