Serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Libya, imepinga kuachiliwa kwa mwana wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Kanali Gaddafi.

In Kimataifa

Serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Libya, imepinga kuachiliwa kwa mwana wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Kanali Gaddafi.

Seif Al Islam Gaddafi, alikuwa amezuiliwa na kundi la wanamgambo katika mji ulio magharibi wa Zintan.

Amekaa gerezani kwa muda wa miaka 6 kufuatia mapinduzi yaliyomundoa madarakani babake mwaka 2011, na aliachiliwa baada ya kupewa msamaha.

Kuachiliwa kwa Bwana Al Seif Al Islam huenda kukazua msukosuko zaidi katika nchi hiyo ambayo tayari imegawanyika.

Kwa wale waliokusanyika Tripoli miaka 6 iliyopita kuitisha uhuru, itakuwa ni kama hujuma kwao.

Lakini wengi wa wale waliohojiwa mjini Tripoli walikaribisha kuachiliwa kwa Seif Al Islam.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu