Serikali kujenga daraja la Juu kwaajili ya kivuko cha waenda kwa miguu(Over head Pedestrian Bridge)

In Kitaifa
     Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandis Edwin Ngonyani ,amesema kuwa Serikali itajenga daraja la juu kwa ajili ya kivuko cha waenda kwa miguu (Over head Pedestrian Bridge) eneo la Kawe Bondeni jijini Dar es salaam.
Ameyasema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa Niaba ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Amesema kuwa kwa sasa Mkandarasi wa kujenga daraja hilo yupo kwenye hatua za maandalizi ya kuanza ujenzi katika eneo hilo muhimu.
Hata hivyo ameongeza kuwa  Serikali ina mpango wa kuweka taa za kuongozea magari katika Barabara  ya Mwenge-Tegeta ambapo Mkandarasi ameshapatikana wa kuweka taa hizo katika makutano ya Afrikana na anatarajia kuanza kazi wakati wowote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu