Serikali kujenga daraja la Juu kwaajili ya kivuko cha waenda kwa miguu(Over head Pedestrian Bridge)

In Kitaifa
     Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandis Edwin Ngonyani ,amesema kuwa Serikali itajenga daraja la juu kwa ajili ya kivuko cha waenda kwa miguu (Over head Pedestrian Bridge) eneo la Kawe Bondeni jijini Dar es salaam.
Ameyasema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa Niaba ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Amesema kuwa kwa sasa Mkandarasi wa kujenga daraja hilo yupo kwenye hatua za maandalizi ya kuanza ujenzi katika eneo hilo muhimu.
Hata hivyo ameongeza kuwa  Serikali ina mpango wa kuweka taa za kuongozea magari katika Barabara  ya Mwenge-Tegeta ambapo Mkandarasi ameshapatikana wa kuweka taa hizo katika makutano ya Afrikana na anatarajia kuanza kazi wakati wowote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu