Serikali kuwasilisha bungeni mapendekezo ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii

In Kitaifa

Serikali inatarajia kuwasilisha bungeni mapendekezo ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii, yatakayoanzisha fao la upotevu wa ajira.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi na Ajira Anthony Mavunde, ametoa kauli hiyo leo bungeni alipojibu swali la Mbunge wa Busega CCM Dk Raphael Chegeni.

Mbunge huyo alitaka kupata tamko la Serikali kuhusu uwezekano wa kuunganishwa mifuko ya hifadhi ya jamii, na kuondoa mkanganyiko kwa wanachama.

Naibu waziri amesema Serikali imeandaa mapendekezo ya kuunganisha mifuko mitano inayotoa mafao ya pensheni, na kubaki na michache ambayo ni imara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu