Serikali kuwasilisha bungeni mapendekezo ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii

In Kitaifa

Serikali inatarajia kuwasilisha bungeni mapendekezo ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii, yatakayoanzisha fao la upotevu wa ajira.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi na Ajira Anthony Mavunde, ametoa kauli hiyo leo bungeni alipojibu swali la Mbunge wa Busega CCM Dk Raphael Chegeni.

Mbunge huyo alitaka kupata tamko la Serikali kuhusu uwezekano wa kuunganishwa mifuko ya hifadhi ya jamii, na kuondoa mkanganyiko kwa wanachama.

Naibu waziri amesema Serikali imeandaa mapendekezo ya kuunganisha mifuko mitano inayotoa mafao ya pensheni, na kubaki na michache ambayo ni imara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu