Serikali ya Marekani kupitia Waziri wa mambo ya Nje Rex Tillerson, imetangaza kwamba itawawekea vikwazo washirika wa kibiashara wa Korea Kaskazini. Marekani imeendelea kuionya Korea Kaskazini kufuatia mpango wake wa kurusha makombora ya masafa marefu.

In Kimataifa
Serikali ya Marekani kupitia Waziri wa mambo ya Nje Rex Tillerson, imetangaza kwamba itawawekea vikwazo washirika wa kibiashara wa Korea Kaskazini. Marekani imeendelea kuionya Korea Kaskazini kufuatia mpango wake wa kurusha makombora ya masafa marefu.
Marekani imeamua kuiwekea shinikizo zaidi Korea Kaskazini kutokana na mpango wake wa nuklia na kuendelea kurusha makombora ya masafa marefu na kuishtumu nchi hiyo kuhatarish ausalama wa dunia.
Rex Tillerson amesisitiza kuwa Ikulu ya White House hivi karibuni itaamua ikiwa itaziwekea vikwazo nchi hizo.
Rex Tillerson alitoa onyo hili wakati wa kikao cha bunge kuhusu mahusiano ya ya kigeni siku ya Jumanne Juni 13.
Inasemekana kuwa Korea Kaskazini imepiga hatua katika kuunda makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kufika nchini Marekani.
Umoja wa Mataifa umeendelea kuishtumu Korea Kaskazini kufuatia majaribio yake ya makombora ya hivi karibuni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu