Serikali ya Marekani kupitia Waziri wa mambo ya Nje Rex Tillerson, imetangaza kwamba itawawekea vikwazo washirika wa kibiashara wa Korea Kaskazini. Marekani imeendelea kuionya Korea Kaskazini kufuatia mpango wake wa kurusha makombora ya masafa marefu.

In Kimataifa
Serikali ya Marekani kupitia Waziri wa mambo ya Nje Rex Tillerson, imetangaza kwamba itawawekea vikwazo washirika wa kibiashara wa Korea Kaskazini. Marekani imeendelea kuionya Korea Kaskazini kufuatia mpango wake wa kurusha makombora ya masafa marefu.
Marekani imeamua kuiwekea shinikizo zaidi Korea Kaskazini kutokana na mpango wake wa nuklia na kuendelea kurusha makombora ya masafa marefu na kuishtumu nchi hiyo kuhatarish ausalama wa dunia.
Rex Tillerson amesisitiza kuwa Ikulu ya White House hivi karibuni itaamua ikiwa itaziwekea vikwazo nchi hizo.
Rex Tillerson alitoa onyo hili wakati wa kikao cha bunge kuhusu mahusiano ya ya kigeni siku ya Jumanne Juni 13.
Inasemekana kuwa Korea Kaskazini imepiga hatua katika kuunda makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kufika nchini Marekani.
Umoja wa Mataifa umeendelea kuishtumu Korea Kaskazini kufuatia majaribio yake ya makombora ya hivi karibuni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu