Serikali ya Zambia yapanga kutupilia mbali kesi ya Haikande Chilema.

In Kimataifa

Serikali ya Zambia inapanga kutupilia mbali kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, na kumuachilia huru kutoka jela hii leo.

Hatua hiyo inakuja kufuatia maafikiano, ambayo yamefikiwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na wanasheria.

Hakainde Hichilema ambaye ni kiongozi wa chama cha Umoja wa Maendeleo ya Taifa UPND pamoja na wengine watano, walikamatwa mwezi Aprili na wakashitakiwa kwa kosa la uhaini.

Kesi dhidi ya Hichilema ilipaswa kuanza kusikilizwa leo, lakini vyanzo vya habari vimesema mwendesha mashtaka atawasilisha ombi la kesi hiyo kutupiliwa mbali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu