Serikali ya Zambia yapanga kutupilia mbali kesi ya Haikande Chilema.

In Kimataifa

Serikali ya Zambia inapanga kutupilia mbali kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, na kumuachilia huru kutoka jela hii leo.

Hatua hiyo inakuja kufuatia maafikiano, ambayo yamefikiwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na wanasheria.

Hakainde Hichilema ambaye ni kiongozi wa chama cha Umoja wa Maendeleo ya Taifa UPND pamoja na wengine watano, walikamatwa mwezi Aprili na wakashitakiwa kwa kosa la uhaini.

Kesi dhidi ya Hichilema ilipaswa kuanza kusikilizwa leo, lakini vyanzo vya habari vimesema mwendesha mashtaka atawasilisha ombi la kesi hiyo kutupiliwa mbali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu