Serikali yaifungia Gazeti la Mwanahalisi.

In Kitaifa

 

Msemaji Mkuu wa Serikali,  Dr. Hassan Abass amekutana na kuzungumza na wanahabari asubuhi ya leo kuhusiana na kulifungia Gazeti la Mwanahalisi kwa muda wa miaka miwili sawa na miezi 24 kutoka na alichokieleza kuwa Gazeti hilo kukiuka misingi na taratibu za Uandishi wa Habari.

Dr.Hassan amezieleza sababu za Serikali kulifungia Gazeti hilo kutokana na ukiukwaji na misingi na sheria pamoja na kanuni za Uandishi wa Habari.

Mwisho Msemaji huyo wa Serikali Bw.Hassan Abbas akatoa wito kwa wanahabari kusimamia weledi ,misingi na kanuni za habari kwani Uandishi wa Habari ni taaluma kamili.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu