Serikali yaifungia Gazeti la Mwanahalisi.

In Kitaifa

 

Msemaji Mkuu wa Serikali,  Dr. Hassan Abass amekutana na kuzungumza na wanahabari asubuhi ya leo kuhusiana na kulifungia Gazeti la Mwanahalisi kwa muda wa miaka miwili sawa na miezi 24 kutoka na alichokieleza kuwa Gazeti hilo kukiuka misingi na taratibu za Uandishi wa Habari.

Dr.Hassan amezieleza sababu za Serikali kulifungia Gazeti hilo kutokana na ukiukwaji na misingi na sheria pamoja na kanuni za Uandishi wa Habari.

Mwisho Msemaji huyo wa Serikali Bw.Hassan Abbas akatoa wito kwa wanahabari kusimamia weledi ,misingi na kanuni za habari kwani Uandishi wa Habari ni taaluma kamili.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu