Serikali yaifungia Gazeti la Mwanahalisi.

In Kitaifa

 

Msemaji Mkuu wa Serikali,  Dr. Hassan Abass amekutana na kuzungumza na wanahabari asubuhi ya leo kuhusiana na kulifungia Gazeti la Mwanahalisi kwa muda wa miaka miwili sawa na miezi 24 kutoka na alichokieleza kuwa Gazeti hilo kukiuka misingi na taratibu za Uandishi wa Habari.

Dr.Hassan amezieleza sababu za Serikali kulifungia Gazeti hilo kutokana na ukiukwaji na misingi na sheria pamoja na kanuni za Uandishi wa Habari.

Mwisho Msemaji huyo wa Serikali Bw.Hassan Abbas akatoa wito kwa wanahabari kusimamia weledi ,misingi na kanuni za habari kwani Uandishi wa Habari ni taaluma kamili.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu