serikali yakanusha taarifa zilizozagaa kuhusu kutenguliwa kwa agizo la Dkt Harison Mwakyembe.

In Kitaifa

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imekanusha taarifa zilizozagaa kuhusu kutenguliwa kwa agizo la Dkt. Harison Mwakyembe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kuhusu uchambuzi wa habari za magazeti katika redio na televisheni kuwa ni za uzushi.

Aidha, taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Dkt. Hassan Abbas imesema kuwa taarifa zilizozagaa, hazina ukweli wowote na Rais Dkt. John Magufuli hajazungumzia chochote kuhusu agizo hilo la Waziri wa habari Dkt. Harison Mwakyembe.

Vilevie Dkt. Abbas amesema kuwa Umma unakumbushwa kuwa kifungu cha 16 cha Sheria ya Makosa ya Mitandaoni, 2015 kinakataza na kutoa adhabu kali ikiwemo kifungo jela kwa wanaoeneza taarifa za uongo

Hata hivyo, amesisitiza kuwa mitandao ya kijamii inatakiwa kutumika vizuri ili kuweza kupeleka ujumbe uliojitoshereza kwa jamii na uzushi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu