serikali yakanusha taarifa zilizozagaa kuhusu kutenguliwa kwa agizo la Dkt Harison Mwakyembe.

In Kitaifa

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imekanusha taarifa zilizozagaa kuhusu kutenguliwa kwa agizo la Dkt. Harison Mwakyembe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kuhusu uchambuzi wa habari za magazeti katika redio na televisheni kuwa ni za uzushi.

Aidha, taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Dkt. Hassan Abbas imesema kuwa taarifa zilizozagaa, hazina ukweli wowote na Rais Dkt. John Magufuli hajazungumzia chochote kuhusu agizo hilo la Waziri wa habari Dkt. Harison Mwakyembe.

Vilevie Dkt. Abbas amesema kuwa Umma unakumbushwa kuwa kifungu cha 16 cha Sheria ya Makosa ya Mitandaoni, 2015 kinakataza na kutoa adhabu kali ikiwemo kifungo jela kwa wanaoeneza taarifa za uongo

Hata hivyo, amesisitiza kuwa mitandao ya kijamii inatakiwa kutumika vizuri ili kuweza kupeleka ujumbe uliojitoshereza kwa jamii na uzushi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu