Serikali imesitisha umiliki wa hati ya kiwanja No 3 kilichopo
kata ya Makole Mtaa wa Chanduru wilaya ya Dodoma mjini,
baada ya mmiliki wake kushindwa kukiendeleza kiwanja hicho
kwa zaidi ya miaka 33.
Licha hilo pia imebainisha kuwachulia hatua za kisheria baaadhi
ya wamiliki, wanaodaiwa kugushi nyaraka za umilimi.