Serikali yataja mkakati wa kuongeza wabunge wanawake.

In Kitaifa

Serikali imesema itapeleka bungeni marekebisho ya Sheria ya
Vyama vya Siasa, ili kuvilazimisha kuwa na sera itakayoweka
mwongozo wa kujumuisha wanawake katika kuwania nagasi
mbali mbali za uongozi.


Hayo yameeleza leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri
katika Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu Ummy
Ndeliananga,wakati akijibu maswali ya nyongeza ya mbunge wa
Viti maalum Anatropia Theonest.


Katika swali lake la msingi mbunge huyo alihoji ni wanawake
wangapi wamekuwa wabunge wa majimbo na madiwani katika
chaguzi tatu mfululizo zilizopita.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu