Serikali yatoa kauli juu ya thamani ya Shilingi.

In Kitaifa, Uchumi

 

Bunge limeelezwa kuwa kushuka au kupanda kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania, hakutokani na kuruhusu bidhaa na huduma kutozwa kwa Dola, bali kunatokana na misingi ya shughuli za kiuchumi.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk Ashantu Kijaji, ametoa kauli hiyo bungeni akijibu swali la mbunge wa Viwawa CCM Japhet Hasunga.

Mbunge huyo alitaka kujua hatua ambazo Serikali inatarajia kuchukua, ili kuimarisha Shilingi ya Tanzania na kupiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni nchini.

Naibu waziri alitaja sababu za kushuka kwa thamani ya Shilingi Tanzania, kuwa ni nakisi ya urari wa biashara ya nje ya nchi ambayo husababisha sarafu ya Tanzania kushuka thamani kama mauzo ya bidhaa ya nje.

Dk Kijaji amesema sababu nyingine ni tofauti ya misimu ya upatikanaji wa fedha za kigeni, kutokana na biashara za msimu kusababisha kuserereka kwa Shilingi.

Naibu waziri alitoa mfano wa Afrika Kusini akisema pamoja na sheria ya kutokutumia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu