Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amesisitiza haja ya waumini wa madhehebu mbalimbali za dini hapa nchini kushikamana zaidi, ili kulinda na kudumisha amani na mshikamano wa kitaifa uliopo nchini.

In Kitaifa
Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amesisitiza haja ya waumini wa madhehebu mbalimbali za dini hapa nchini kushikamana zaidi, ili kulinda na kudumisha amani na mshikamano wa kitaifa uliopo nchini.
Mufti Abubakar Zubeir ametoa msisitizo huo jijini Dar es salaam katika hafla ya futari iliyowakutanisha waumini wa madhehebu tofauti ya dini, iliyoandaliwa kwa pamoja na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA kwa kushirikiana na Jumuiya ya ‘Khoja Shia Ithnaasheri’ mkoani Dar es salaam.
Amesema kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu vyote vya dini, binadamu wote ni ndugu kwa sababu wanatokana na asili moja, licha ya binadamu hao kuwa na dini na madhehebu tofauti.
Hafla hiyo iliyopewa jina la ‘Interfaith Iftar’ ilihudhuriwa na waumini wa madhehebu mbalimbali ya dini wakiwemo viongozi wa kisiasa na mabalozi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu