Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amesisitiza haja ya waumini wa madhehebu mbalimbali za dini hapa nchini kushikamana zaidi, ili kulinda na kudumisha amani na mshikamano wa kitaifa uliopo nchini.

In Kitaifa
Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amesisitiza haja ya waumini wa madhehebu mbalimbali za dini hapa nchini kushikamana zaidi, ili kulinda na kudumisha amani na mshikamano wa kitaifa uliopo nchini.
Mufti Abubakar Zubeir ametoa msisitizo huo jijini Dar es salaam katika hafla ya futari iliyowakutanisha waumini wa madhehebu tofauti ya dini, iliyoandaliwa kwa pamoja na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA kwa kushirikiana na Jumuiya ya ‘Khoja Shia Ithnaasheri’ mkoani Dar es salaam.
Amesema kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu vyote vya dini, binadamu wote ni ndugu kwa sababu wanatokana na asili moja, licha ya binadamu hao kuwa na dini na madhehebu tofauti.
Hafla hiyo iliyopewa jina la ‘Interfaith Iftar’ ilihudhuriwa na waumini wa madhehebu mbalimbali ya dini wakiwemo viongozi wa kisiasa na mabalozi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu