Shibuda awaombea msamaha waliorejesha fedha za Escrow.

In Kitaifa

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini, John Shibuda amemuomba Rais John Magufuli kuwasamehe wale wanaorejesha fedha walizopewa, na Mkurugenzi wa kampuni ya VIP Engendering, James Rugemalira ambazo zimetokana na sakata la Escrow.

Shibuda ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku chache baada ya Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja kuwasilisha kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) shilingi milioni 40 alizopewa na Rugemarila.

Aidha Shibudaa amesifu kitendo cha Ngeleja kurejesha fedha hizo akiwataka wengine waliopata gawio la Escrow, kuchukua uamuzi kama huo huku akiwaombea msamaha.

James Rugemalira ambaye pia alikuwa na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL na Mwenyekiti mtendaji wa PAP, Habi nder Seth Sigh walifikishwa mahakamani kujibu mashtaka sita ikiwa ni pamoja na uhujumu uchumi.

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu