Shirika la Afya duniani (WHO) limetangaza kutokea kwa milipuko miwili ya ugonjwa wa polio nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi michache baada ya nchi hiyo kukumbwa na ugonjwa mwengine hatari wa Ebola, ambao ulisababisha kifo cha watu kadhaa kaskazini mwa DRC.

In Kimataifa
Shirika la Afya duniani (WHO) limetangaza kutokea kwa milipuko miwili ya ugonjwa wa polio nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi michache baada ya nchi hiyo kukumbwa na ugonjwa mwengine hatari wa Ebola, ambao ulisababisha kifo cha watu kadhaa kaskazini mwa DRC.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema uwepo wa maambukizi ya ugonjwa wa polio umebainika upo katika maeneo ambayo hawakupata kinga ya kutosha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Inaaminiwa kuwa maambukizi ya polio yanawashambulia zaidi vijana na athari zake ni kupooza kwa kudumaa kwa baadhi ya viongo vya mwili vya binadamu.
Nchi ambazo zinakabiliwa hasa na ugonjwa huu licha ya kuwepo kwa kampeni nyingi za kuutokomeza ugonjwa huu ni Nigeria, Pakistan na Afghanistan.
Shirika la Afya Duniani linabaini kwamba kuna hatari kubwa ya ugonjwa huo kusambaa katika baadhi ya maeneo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu