Shughuli za kilimo zasitishwa Kagera.

In Kitaifa

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanueli Maganga, ameagiza kusitishwa mara moja shughuli zote za Kilimo katika msitu wa Kagera nkanda.

Brigedia Maganga amesemimisha shuguli hizo, wakati uongozi wa mkoa ukikamilisha taratibu za ugawaji wa maeneo ya msitu huo, uliotolewa kwa wakulima na rais Dk John Pombe Magufuli.

Amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Wilayani Kasulu, kuharakisha taratibu na kupima sehemu ya eneo la msitu huo, ili wananchi waweze kugawiwa na kuanza shughuli zao za kilimo.

Maganga ametoa maelekezo hayo Wilayani kasulu, ikiwa ni utekelezaji wa tamko la Rais Magufuli, alilolitoa wakati wa ziara yake Mkoani Kigoma mwezi Juni mwaka huu.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu