Shughuli za kilimo zasitishwa Kagera.

In Kitaifa

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanueli Maganga, ameagiza kusitishwa mara moja shughuli zote za Kilimo katika msitu wa Kagera nkanda.

Brigedia Maganga amesemimisha shuguli hizo, wakati uongozi wa mkoa ukikamilisha taratibu za ugawaji wa maeneo ya msitu huo, uliotolewa kwa wakulima na rais Dk John Pombe Magufuli.

Amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Wilayani Kasulu, kuharakisha taratibu na kupima sehemu ya eneo la msitu huo, ili wananchi waweze kugawiwa na kuanza shughuli zao za kilimo.

Maganga ametoa maelekezo hayo Wilayani kasulu, ikiwa ni utekelezaji wa tamko la Rais Magufuli, alilolitoa wakati wa ziara yake Mkoani Kigoma mwezi Juni mwaka huu.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu