Shughuli za kilimo zasitishwa Kagera.

In Kitaifa

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanueli Maganga, ameagiza kusitishwa mara moja shughuli zote za Kilimo katika msitu wa Kagera nkanda.

Brigedia Maganga amesemimisha shuguli hizo, wakati uongozi wa mkoa ukikamilisha taratibu za ugawaji wa maeneo ya msitu huo, uliotolewa kwa wakulima na rais Dk John Pombe Magufuli.

Amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Wilayani Kasulu, kuharakisha taratibu na kupima sehemu ya eneo la msitu huo, ili wananchi waweze kugawiwa na kuanza shughuli zao za kilimo.

Maganga ametoa maelekezo hayo Wilayani kasulu, ikiwa ni utekelezaji wa tamko la Rais Magufuli, alilolitoa wakati wa ziara yake Mkoani Kigoma mwezi Juni mwaka huu.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu