Shule za Tumaini Junior na Senior vinara wa Elimu kwa vitendo.

In Kitaifa

Shule za Tumaini Junior na Senior wilaya ya Karatu na Monduli kinara kwa kuwafundisha wanafunzi Elimu za vitendo

Mahafali hayo ni muhimu kwani shule hiyo imeweza kuimarisha taaluma mwaka Hadi mwaka kwa kuwa wana wastani wa ufaulu wa juu kila mwaka na kufaulisha wanafunzi wote kwenda sekondary kwa, asilimia 100

Shule hiyo Ina jumla ya wanafunzi 808 Tangu kuanzishwa, kwake ambapo wavulana ni 396 na wasichana ni 412 kati ya wanafunzi hao wanafunzi wa elimu ya awali ni 200 na elimu ya msingi ni 608

Hata hivyo Waanzilishi wa shule hiyo Modest Bayo akiwa na Light Bayo wamesema kuwa shule hiyo ilipata vusajili ikiwa na jumla ya wanafunzi 17 elimu ya awali mwaka 2006

Hata hivyo mahafali hayo ni 13 na wamehitimu wanafunzi 94

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu