Simbu hayupo michezo ya Madola.

In Kitaifa, Michezo

Kamati ya Olimpiki Tanzania TOC, imemuengua mwanariadha Alphonce Simbu katika kikosi cha timu ya Taifa cha Riadha kinachojiandaa na Michezo ya Madola huku akiwa ameanza kupiga hesabu za London Marathon 208.

Katibu Mkuu wa TOC Filbert Bayi amesema kwamba, kwenye orodha ya wanariadha wa Tanzania watakaokwenda madola Simbu hayumo.

Suala la Simbu limetokana na kukabiliwa na mashindano ya Madola na Mbio za London Marathon, ambazo zote zitafanyika Aprili mwakani huku zikipishana kwa siku chache na kiutaratibu mwanariadha wa marathoni, anapaswa kupumzika kwa miezi mitatu kati ya mbio na mbio.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu