Simbu hayupo michezo ya Madola.

In Kitaifa, Michezo

Kamati ya Olimpiki Tanzania TOC, imemuengua mwanariadha Alphonce Simbu katika kikosi cha timu ya Taifa cha Riadha kinachojiandaa na Michezo ya Madola huku akiwa ameanza kupiga hesabu za London Marathon 208.

Katibu Mkuu wa TOC Filbert Bayi amesema kwamba, kwenye orodha ya wanariadha wa Tanzania watakaokwenda madola Simbu hayumo.

Suala la Simbu limetokana na kukabiliwa na mashindano ya Madola na Mbio za London Marathon, ambazo zote zitafanyika Aprili mwakani huku zikipishana kwa siku chache na kiutaratibu mwanariadha wa marathoni, anapaswa kupumzika kwa miezi mitatu kati ya mbio na mbio.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu