Siri ya uwanja wa Azam complex hii hapa.

In Michezo

Uongozi wa klabu ya Azam FC umefichua siri ya uwanja wao
wa Azam complex chamazi kuendelea kuwa bora wakati wote,
tofauti na viwanja vingine ambavyo hukosa mvuto, kila ya
msimu wa ligi unapofikia tamati.


Meneja wa uwanja wa Azam Complex Chamazi Sikitu Kilakala
amesema uwanja wao umekua na mtazamo wenye ubora siku
zote kutokana na uwepo wa wafanyakazi siku zote ambao
wanatimiza majumuku yao ya kazi, hata kama msimu wa ligi
umemalizika.


Amesema uwajibikaji wa kila mmoja uwanjani hapo umekua
chachu ya kuhakikisha kila idara inatimiza majukumu yake, kwa
kuhakikisha uwanja unakua salama wakati wote.


Sikutu amesema kutokana na umakini wanaoendelea kuufanya
uwanjani hapo, wanaamini Azam Complex Chamazi itaendelea
kuwa somo kwa klabu nyingine za soka nchini ambazo
zimedhamiria kujenga viwanja vyao binafsi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu