Sirro awaomba msaada viongozi wa dini.

In Kitaifa

Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP simon siro, amewaomba viongozi wa dini na wanasiasa mkoani Iringa, kushirikiana katika kutokomeza vitendo vya ulawiti na ubakaji, ambavyo vinazidi kushamiri mkoani humo.

IGP Siro ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari, katika ziara yake ya kikazi ya siku moja mkoani humo.

Amesema ili vitendo hivyo vitokomezwe ni lazima elimu izidi kutolewa kwa jamii, hususani masuala ya imani za kishirikina ambayo yametajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuchangia matukio hayo.

Aidha IGP Sirro amewasihi askari kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya sheria, bila kumuonea mtu yoyote kwakuwa hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu