Soko la kisasa la Samaki lazinduliwa Zanzibar.

In Kitaifa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na vikosi vya
SMZ Mhe Masoud Ally Mohamed,amezindua soko la kisasa la
samaki la Msuma Fish Market maeneo ya Amani Zanzibar,
eneo ambalo ni maarifu kwa uuzwaji wa samaki.


Akizungumza katika eneo hilo amewataka wafanyabisha kuacha
kuendelea kufanya ukaidi wa kuendelea kufanya biashara hiyo
maeneo ya stand ya magari,akibainisha lengo sio kufukuzana
bali ni kuwataka wafanyabishara kwa pamoja kuwepo kwenye
soko hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu