Soko la kisasa la Samaki lazinduliwa Zanzibar.

In Kitaifa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na vikosi vya
SMZ Mhe Masoud Ally Mohamed,amezindua soko la kisasa la
samaki la Msuma Fish Market maeneo ya Amani Zanzibar,
eneo ambalo ni maarifu kwa uuzwaji wa samaki.


Akizungumza katika eneo hilo amewataka wafanyabisha kuacha
kuendelea kufanya ukaidi wa kuendelea kufanya biashara hiyo
maeneo ya stand ya magari,akibainisha lengo sio kufukuzana
bali ni kuwataka wafanyabishara kwa pamoja kuwepo kwenye
soko hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu