Somalia yasaini mkataba wa utulivu wenye lengo la kuimarisha Jeshi lake.

In Kimataifa

Somalia imesaini mkataba wa utulivu wenye lengo la kuimarisha jeshi lake na kufufua uchumi wake uliodorora.
Baada ya kusainiwa mkataba huo kati ya Somalia na mtandao wa kimataifa, Rais Mohammed Abdullahi Mohamed amesema katika mkutano wa mjini London Uingereza kwamba siku ya kusaini mkataba huo ni ya kihistoria kwa Somalia.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ambaye alikuwa miongoni mwa wenyeji wa hafla hiyo, amesema Somalia itakuwa na mafanikio.
Mkataba huo una lengo la kufanya kazi ya kuipatia msamaha wa madeni Somalia na kuisaidia kupambana na wapiganaji wa kundi la mitazamo mikali ya Kiislam al-Shabaab, ambalo kwa miaka kumi limekuwa likijaribu kuipindua serikali ya Somalia.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu