Spika Ngugai amjibu Godbless Lema.

In Kitaifa

 

 

Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai, ametoa ufafanuzi juu ya kauli ya mbunge Godbless Lema aliyoitoa akiwa jijini Nairobi.

Akiwa jijini Nairobi Godbles Lema alizungumzia maswala mbali mbali, likiwemo la spika kumuita mbunge Saidi kubenea katika kamati ya ulinzi na usalama ya bunge akisema ni sababu za mapenzi.

Pia Godbless Lema alitaka Bunge kusimama kwa muda kwa maana ya kuarishwa, baada ya tukio la mbunge Tundu lissu kupigwa risasi.

Lakini pia Spika ndugai ametolea ufafanuzi swala lililozungumzwa na Lema, kuwa serikali na bunge haijatoa mchango wowote kwenye matibabu ya Tundu lissu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu