Spika Ngugai amjibu Godbless Lema.

In Kitaifa

 

 

Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai, ametoa ufafanuzi juu ya kauli ya mbunge Godbless Lema aliyoitoa akiwa jijini Nairobi.

Akiwa jijini Nairobi Godbles Lema alizungumzia maswala mbali mbali, likiwemo la spika kumuita mbunge Saidi kubenea katika kamati ya ulinzi na usalama ya bunge akisema ni sababu za mapenzi.

Pia Godbless Lema alitaka Bunge kusimama kwa muda kwa maana ya kuarishwa, baada ya tukio la mbunge Tundu lissu kupigwa risasi.

Lakini pia Spika ndugai ametolea ufafanuzi swala lililozungumzwa na Lema, kuwa serikali na bunge haijatoa mchango wowote kwenye matibabu ya Tundu lissu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Trump apiga marufuku raia wa mataifa 12 kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini tangazo jipya linaloweka marufuku kali kwa raia wa mataifa 12 kuingia nchini

Read More...

Serikali Yafuta Usajili wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Linaloongozwa na Askofu Gwajima

Serikali kupitia Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa, imetangaza kulifutia usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na

Read More...

KATIBA YA CCM YAFANYIWA MABADILIKO 

Kwa mujibu wa taarifa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu