Spika wa Bunge Venezuela amelitaka jeshi kuanzisha mazungumzo na kusaidia kupata suluhu ya mgogoro wa kisiasa.

In Kimataifa
   Spika wa Bunge lenye wapinzani wengi nchini Venezuela, Julio Borges amelitaka jeshi la nchi hiyo kuanzisha mazungumzo na kusaidia kupata suluhu ya mgogoro wa kisiasa.
Jeshi linamtii rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro ambaye amekuwa akipinga shinikizo la upinzani kuitisha uchaguzi mapema.
Borges amemtaka waziri wa ulinzi, Vladmir Padrino Lopez, kukutana na viongozi wa upinzani na kusikiliza hoja zao.
Amesema jeshi halitakiwi kuegemea upande mmoja, kazi yake ni kutetea katiba ya Venezuela, ambayo upinzani inasema inatishiwa.
Mapema mwezi huu, Rais Maduro alitangaza mipango ya kuunda bunge jipya kwa ajili ya kuandika katiba mpya

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu