Kufuatia kuwepo kwa taarifa za TAKUKURU mkoani Dodoma kumshikilia mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livinstone Lusinde Kibabaji, leo wamezungumzia swala hilo.
Kwa uzuri Mtaa wa Mastory tumemvutia waya Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoa wa Dodoma ndugu Sosthenes Kibwengo, na kusema ni kweli jana walimhoji ndugu Lusinde kwa saa kadhaa na kumwachia.
Ni sababu gani hasa zilizosababisha ndugu Lusinde kuhojiwa msikie hapa Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Dodoma Sosthenes Kibwengo anafunguka.