TAKUKURU kuwahoji wabunge 69 wa Chadema.

In Kitaifa

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Tanzania
TAKUKURU, leo imeutaarifu umma kuwa imewaita wabunge
69 wa cha macha Chadema waliopo chamani na wale waliotoka,
ili kuwahoji juu ya sakata la Kuwepo kwa vitendo vya Rushwa
na matumizi mabaya ya fedha ndani ya chama hicho.
Kwa uzuri Antenna tumeinasa taarifa hiyo ya TAKUKURU toka
makao makuu Dodoma,kuwaita wabunge hao kwenda kuhojiwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu