TAKUKURU kuwahoji wabunge 69 wa Chadema.

In Kitaifa

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Tanzania
TAKUKURU, leo imeutaarifu umma kuwa imewaita wabunge
69 wa cha macha Chadema waliopo chamani na wale waliotoka,
ili kuwahoji juu ya sakata la Kuwepo kwa vitendo vya Rushwa
na matumizi mabaya ya fedha ndani ya chama hicho.
Kwa uzuri Antenna tumeinasa taarifa hiyo ya TAKUKURU toka
makao makuu Dodoma,kuwaita wabunge hao kwenda kuhojiwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu