TAKUKURU yamuonya Joshua Nassari.

In Kitaifa

Taasisi ya kuzuia na kupambana narushwa TAKUKURU imeita Waandishi leo Dar es salaam na kutoa onyo kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ambae alipeleka ushahidi wa tuhuma za Madiwani wa CHADEMA kupewa rushwa ili wahamie CCM Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola amesema  Mh,Nassari na wenzie Ni kama wanataka kulifanya hili swala kama la kisiasa badala ya kuwa la kisheria,na kusema anamuonya Mh. Nassari kwa hilo,Na kumtaka aachie Takukuru kazi hiyo ya uchunguzi vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake,Kwani Takukuru haifungamani na upande wowote.

Lakini pia Mkurugenzi huyo wa Takukuru Bw.Valentino amezungumzia kuhusiana na wale wanaozungumza kwanini malalamiko hayo hayafiki mahakamani kwa haraka na kusema Takukuru in aongozwa na sheria mwenendo mashtaka ambapo ushahidi ukikamilika ndipo inaweza kwenda mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu