TAKUKURU yamuonya Joshua Nassari.

In Kitaifa

Taasisi ya kuzuia na kupambana narushwa TAKUKURU imeita Waandishi leo Dar es salaam na kutoa onyo kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ambae alipeleka ushahidi wa tuhuma za Madiwani wa CHADEMA kupewa rushwa ili wahamie CCM Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola amesema  Mh,Nassari na wenzie Ni kama wanataka kulifanya hili swala kama la kisiasa badala ya kuwa la kisheria,na kusema anamuonya Mh. Nassari kwa hilo,Na kumtaka aachie Takukuru kazi hiyo ya uchunguzi vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake,Kwani Takukuru haifungamani na upande wowote.

Lakini pia Mkurugenzi huyo wa Takukuru Bw.Valentino amezungumzia kuhusiana na wale wanaozungumza kwanini malalamiko hayo hayafiki mahakamani kwa haraka na kusema Takukuru in aongozwa na sheria mwenendo mashtaka ambapo ushahidi ukikamilika ndipo inaweza kwenda mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu