TAKUKURU yamuonya Joshua Nassari.

In Kitaifa

Taasisi ya kuzuia na kupambana narushwa TAKUKURU imeita Waandishi leo Dar es salaam na kutoa onyo kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ambae alipeleka ushahidi wa tuhuma za Madiwani wa CHADEMA kupewa rushwa ili wahamie CCM Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola amesema  Mh,Nassari na wenzie Ni kama wanataka kulifanya hili swala kama la kisiasa badala ya kuwa la kisheria,na kusema anamuonya Mh. Nassari kwa hilo,Na kumtaka aachie Takukuru kazi hiyo ya uchunguzi vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake,Kwani Takukuru haifungamani na upande wowote.

Lakini pia Mkurugenzi huyo wa Takukuru Bw.Valentino amezungumzia kuhusiana na wale wanaozungumza kwanini malalamiko hayo hayafiki mahakamani kwa haraka na kusema Takukuru in aongozwa na sheria mwenendo mashtaka ambapo ushahidi ukikamilika ndipo inaweza kwenda mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu