TANAPA kutoa milioni 10 kwa BAKWATA Arumeru.

In Kitaifa

SHIRIKA la hifadhi za Taifa (TANAPA) limeahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 10 kwa baraza la waislamu BAKWATA wilaya ya Arumeru ,kwa ajili ya kusaidia  ujenzi wa jengo la madrasa katika msikiti wa Mji  Mwema uliopo wilayani Arumeru mkoani Arusha.

Akizungumza na viongozi wa baraza hilo ofisini kwake katika hafla fupi ya kukabidhiwa cheti cha pongezi kwa mchango wa Tanapa kusaidia ujenzi wa jengo hilo, mkurugenzi wa shirikika hilo,Allan Kijazi amesema kwamba shirika hilo  limekuwa na utaratibu wa kusaidia sekta mbalimbali ikiwemo Elimu kwa lengo la kuunga mkono Sera ya Serikali .

Kijazi,amesema kwamba Tanapa  linaunga mkono juhudi za serikali ya Awamu ya Tano, hususani katika kusaidia na kunyanyua sekta ya elimu ,na kwa umuhimu huo  kila mwaka hutenga kiasi cha sh,2.5  bilioni, kusaidia Elimu  Nchini.

 katika mwaka huu wa fedha 2017/18 Tanapa imetumia zaidi ya sh,2 bilioni katika miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwa ni pamoja na  kujikita zaidi katika kusaidia sekta ya afya na elimu nchini.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu