Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa mpaka kupelekea viongozi mbalimbali wa taasisi kubwa duniani kuja nchini kwa ajili ya kujione na kutaka kujua mengi zaidi

In Kitaifa

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa mpaka kupelekea viongozi mbalimbali wa taasisi kubwa duniani kuja nchini kwa ajili ya kujione na kutaka kujua mengi zaidi.

Hali hiyo imedhihirika mara baada ya Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Tao Zhang  kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip  Mpango pamoja na maafisa wengine waandamizi wa Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Aidha, akiwa nchini, Tao Zhang atafanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli Ikulu Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuona ni namna gani Tanzania na IMF zinashirikiana katika kuimarisha uchumi.

Hata hivyo, Zhang atawasilisha mtazamo wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa wadau hapa nchini kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa na maendeleo endelevu, kuimarisha uchumi mkubwa (Macroeconomy) na kuwa na uchumi shirikishi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu