Tanzania yatajwa kuwa nchi kinara wa uzalishaji na uuzaji wa maharage barani Afrika.

In Kitaifa

Tanzania inatajwa kuwa nchi kinara wa uzalishaji na uuzaji wa maharage barani Afrika.
Ikiwa na eneo la ukubwa wa hekta Milioni 1 nukta 3 za mashamba ya maharage, Tanzania inalisha mamilioni ya watu barani Afrika.
Taarifa hiyo imeelezwa kuwa mkoani Kagera ndio mkoa unaoongoza kwa uzalishaji wa maharage hapa nchini.
Mkoa mwingine uliotajwa kuwa mstari wa mbele katika uzalishaji wa maharage nchini ni mkoa wa Kigoma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu