Tanzania yatajwa kuwa nchi kinara wa uzalishaji na uuzaji wa maharage barani Afrika.

In Kitaifa

Tanzania inatajwa kuwa nchi kinara wa uzalishaji na uuzaji wa maharage barani Afrika.
Ikiwa na eneo la ukubwa wa hekta Milioni 1 nukta 3 za mashamba ya maharage, Tanzania inalisha mamilioni ya watu barani Afrika.
Taarifa hiyo imeelezwa kuwa mkoani Kagera ndio mkoa unaoongoza kwa uzalishaji wa maharage hapa nchini.
Mkoa mwingine uliotajwa kuwa mstari wa mbele katika uzalishaji wa maharage nchini ni mkoa wa Kigoma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu