TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

In Kitaifa

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia.

Akithibitisha Kifo hicho Mtoto wa Marehemu Paul Kirigini amesema


“Kwa masikitiko makubwa sana, naomba kutoa taarifa zenye majonzi makubwa ya kifo cha Mhe Herman Kirigini (Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini) aliyetutoka jioni ya jana jioni tarehe 23 mei -2023.

Marehemu Herman Kirigini alikuwa Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini (1980-1985), Waziri wa Kilimo na Mifugo, n.k. Marehemu ni mzaliwa na Kijiji cha Muryaza, Wilaya ya Butiama.”

Taarifa zaidi zitaendelea kutatolewa na familia ya marehemu

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu