TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

In Kitaifa

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia.

Akithibitisha Kifo hicho Mtoto wa Marehemu Paul Kirigini amesema


“Kwa masikitiko makubwa sana, naomba kutoa taarifa zenye majonzi makubwa ya kifo cha Mhe Herman Kirigini (Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini) aliyetutoka jioni ya jana jioni tarehe 23 mei -2023.

Marehemu Herman Kirigini alikuwa Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini (1980-1985), Waziri wa Kilimo na Mifugo, n.k. Marehemu ni mzaliwa na Kijiji cha Muryaza, Wilaya ya Butiama.”

Taarifa zaidi zitaendelea kutatolewa na familia ya marehemu

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Mbunge ataka ukomo saa za kufundishwa wanafunzi.

Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesisitiza kuwamitaala ya Elimu ya Msingi na Sekondari imeweka bayanamuda unaopaswa wanafunzi kusoma. Waziri wa

Read More...

Polisi yatoa kauli kwa dada aliyeibiwa Mil 20.

Mfanyabiashara ambaye ni Wakala wa miamala ya simu nakibenki Mkoani Manyara Tatu Athuman,amejitokeza nakuthibitika kuwa ndiye aliibiwa Milioni 20

Read More...

Rais Samia awaapisha Wateule wake Ikulu Chamwino.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt SamiaSuluhu Hassan,leo amewaapisha Viongozi aliowateuwa,tukioambalo limefanyika Ikuku ya chamwino jijini

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu