TASSO kutoshugulika na maandalizi na Usimamizi wa Nane Nane.

In Kitaifa
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuanza  sherehe za wakulima Nane Nane  Kanda ya Kaskazini, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ametoa tamko la TASSO kutoshugulika na maandalizi na Usimamizi wa sherehe hizo kama miaka mingine iliyopita kutokana na Usimamizi Usioridhisha  kwa Wakulima
Akizungumza  na Wakuu wa Wilaya, na Wakurugenzi wa Kanda ya Kaskazini katika kikao cha pili cha Maandalizi ya Sikukuu ya Wakulima,Gambo  amesema sababu ya serikali kuwaondoa TASSO ni kutokana na usimamizi hafifu ambao umekuwa ukifanywa na TASSO kwa nchi nzima.
Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Manyara John Bendera amesema kanda ya kaskazini imepokea agizo la serikali bila vipingamizi hivyo watahakikisha shughuli hizo zinafanyika  kwa ufanisi mkubwa.
Nae mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mgwira amesema ili kuweza kukamilisha zoezi hilo ,panatakiwa kuwa na ulinzi na usalama wa kutosha ,ambapo amewataka wakulima wajiandae ikiwa ni pamoja na kubadilisha bidhaa zao kutoka malighafi kuingia viwandani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu