TCRA yawataka Watanzania kufata sheria na kanuni za mitandao.

In Kitaifa
Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kufuata sheria na kanuni za mitandao ili kuweza kuepukana na changamoto ya ukosefu wa mawasiliano hapa nchini
Hayo yamelezwa na  Mwandisi wa Idara ya Leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA  Kadaya Baluhya, wakati akitoa semina ya watoa huduma za mawasiliano na wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika mkoani Arusha
Amesema lengo la semina hiyo ni kuwawezesha wadau wa vyombo vya habari na mawasiliano nchini, kujua sheria za kulinda mawasiliano kwani hii itasaidia kupunguza tatizo wa uhalifu kwa baadhi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii
Akizungumzia sheria ya makosa ya mitandao Kadaya amesema kuna baadhi ya watu wanatumia picha za Ajali kwa kutuma kwenye mitandao bila kujali utu hivyo sheria itachukua mkondo kulivalia njuga swala hilo
Halikadhalika amewataka wananchi kuwa makini katiaka maswala ya mawasiliano na kuweza kushirikiana na mamlaka hiyo ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu