TCRA yawataka Watanzania kufata sheria na kanuni za mitandao.

In Kitaifa
Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kufuata sheria na kanuni za mitandao ili kuweza kuepukana na changamoto ya ukosefu wa mawasiliano hapa nchini
Hayo yamelezwa na  Mwandisi wa Idara ya Leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA  Kadaya Baluhya, wakati akitoa semina ya watoa huduma za mawasiliano na wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika mkoani Arusha
Amesema lengo la semina hiyo ni kuwawezesha wadau wa vyombo vya habari na mawasiliano nchini, kujua sheria za kulinda mawasiliano kwani hii itasaidia kupunguza tatizo wa uhalifu kwa baadhi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii
Akizungumzia sheria ya makosa ya mitandao Kadaya amesema kuna baadhi ya watu wanatumia picha za Ajali kwa kutuma kwenye mitandao bila kujali utu hivyo sheria itachukua mkondo kulivalia njuga swala hilo
Halikadhalika amewataka wananchi kuwa makini katiaka maswala ya mawasiliano na kuweza kushirikiana na mamlaka hiyo ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu