TCRA yawataka Watanzania kufata sheria na kanuni za mitandao.

In Kitaifa
Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kufuata sheria na kanuni za mitandao ili kuweza kuepukana na changamoto ya ukosefu wa mawasiliano hapa nchini
Hayo yamelezwa na  Mwandisi wa Idara ya Leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA  Kadaya Baluhya, wakati akitoa semina ya watoa huduma za mawasiliano na wamiliki wa vyombo vya habari uliofanyika mkoani Arusha
Amesema lengo la semina hiyo ni kuwawezesha wadau wa vyombo vya habari na mawasiliano nchini, kujua sheria za kulinda mawasiliano kwani hii itasaidia kupunguza tatizo wa uhalifu kwa baadhi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii
Akizungumzia sheria ya makosa ya mitandao Kadaya amesema kuna baadhi ya watu wanatumia picha za Ajali kwa kutuma kwenye mitandao bila kujali utu hivyo sheria itachukua mkondo kulivalia njuga swala hilo
Halikadhalika amewataka wananchi kuwa makini katiaka maswala ya mawasiliano na kuweza kushirikiana na mamlaka hiyo ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu