Tetesi za John Mnyika kuhamia CCM zazidi kuzagaa.

In Kitaifa, Siasa

Kumekuwepo na gumzo mitandaoni kwamba Mbunge wa Kibamba kwa Tikect ya CHADEMA John Mnyikaanahamia kwenye Chama cha Mapinduzi CCM hivi karibuni na sasa gumzo linaendelea.

Kada wa CCM Jerry Muro kapost picha ya John Mnyika na Rais Magufuli na kuandika “Wanakuita mvulana, basi nenda kwa Baba ukadeke kidogo kule ulikua unakomazwa tu, #safarimojamatata

Radio 5 Fm zinaendelea kumtafuta John Mnyika ili kupata ya upande wake kuhusu taarifa hizi

Fununu hizi zimekua zikienea toka wiki iliyopita ambapo kwenye Twitter ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuliandikwa yafuatayo kama inavyoonekana hapa chini

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu