Tetesi za John Mnyika kuhamia CCM zazidi kuzagaa.

In Kitaifa, Siasa

Kumekuwepo na gumzo mitandaoni kwamba Mbunge wa Kibamba kwa Tikect ya CHADEMA John Mnyikaanahamia kwenye Chama cha Mapinduzi CCM hivi karibuni na sasa gumzo linaendelea.

Kada wa CCM Jerry Muro kapost picha ya John Mnyika na Rais Magufuli na kuandika “Wanakuita mvulana, basi nenda kwa Baba ukadeke kidogo kule ulikua unakomazwa tu, #safarimojamatata

Radio 5 Fm zinaendelea kumtafuta John Mnyika ili kupata ya upande wake kuhusu taarifa hizi

Fununu hizi zimekua zikienea toka wiki iliyopita ambapo kwenye Twitter ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuliandikwa yafuatayo kama inavyoonekana hapa chini

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu