Tetesi za Soka Ulaya.

In Mahusiano

Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha
mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30,
kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)
Manchester City wametanga £80m kuwa bei ya kumuuza winga
wa Algeria Riyad Mahrez, 29, ambaye amehusishwa na
uhamisho wa kuenda Paris St-Germain. (Sun)
Manchester United wanapanga ‘mkakati’ wa kusaini mkataba na
beki wa Barcelona na Ufaransa Samuel Umtiti, 26 msimu huu.
(Talksport)

Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta anataka kumuuza kiungo wa
kati wa Armenia Henrikh Mkhitaryan, 31, msimu wa joto huku
wakiwa na mpango wa kubadili mkataba ake wa mkopo kuwa
uhamisho wa kudumu . (Express)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu