Tetesi za soka Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati, Mfaransa
N’Golo Kante huku Blues wakiwa tayari kusikiliza ofa kwa ajili
ya kumuuza mchezaji huyo wa Ufaransa, 29. (Gazzetta dello
Sport, via Metro)

Zenit St Petersburg wameeleza nia yao ya kumsajili beki
anayekipiga katika klabu ya Liverpool Dejan Lovren, 31.
(Liverpool Echo)
AC Milan wanafiukiria kumnunua mashambuliaji wa Real
Madrid raia wa Serbia Luca Jovic, 22, ambaye anatekodolewa
macho na Leicester City na Arsenal. (Calciomercato,via
Leicester Mercury)
Bayern Munich wana mpango wa kuwanasa viungo wawili
wanaocheza ligi kuu ya Ufaransa, Tonguy Ndombele wa
Tottenham, 23, na Tiemoue Bakayoko. (Le 10Sport)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu