Tetesi za soka Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Arsenal ina matumaini ya kukamilisha makubaliano ya pauni
milioni 22 kwa mlinzi wa Lille Gabriel Magalhaes. Everton na
Napoli pia nazo zinamnyatia mchezaji huyo wa Brazil, 22.
(ESPN)
Chelsea itakamilisha makubaliano ya mchezaji wa Bayer
Leverkusen Kai Havertz, 21, ndani ya siku 10 zijazo. Raia huyo

wa Ujerumani anataka kuhakikishiwa makubaliano ya miaka
mitano huko Stamford Bridge. (Bild, via Express)
Juventus huenda ikamtumia mshambuliaji Paulo Dybala, 26,
kama sehemu ya makubaliano ya mabadilishano na Manchester
United kumrejesha Paul Pogba katika Ligi ya Serie A. Raia wa
Argentina Dybala amesalia na miaka miwili huko.
Chelsea itafanya mazungumzo na kiungo wa kati Conor
Gallagher huku Newcastle na Crystal Palace zote zikionesha nia
ya kumsajili msimu uliopita .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu