Tetesi za soka Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Arsenal ina matumaini ya kukamilisha makubaliano ya pauni
milioni 22 kwa mlinzi wa Lille Gabriel Magalhaes. Everton na
Napoli pia nazo zinamnyatia mchezaji huyo wa Brazil, 22.
(ESPN)
Chelsea itakamilisha makubaliano ya mchezaji wa Bayer
Leverkusen Kai Havertz, 21, ndani ya siku 10 zijazo. Raia huyo

wa Ujerumani anataka kuhakikishiwa makubaliano ya miaka
mitano huko Stamford Bridge. (Bild, via Express)
Juventus huenda ikamtumia mshambuliaji Paulo Dybala, 26,
kama sehemu ya makubaliano ya mabadilishano na Manchester
United kumrejesha Paul Pogba katika Ligi ya Serie A. Raia wa
Argentina Dybala amesalia na miaka miwili huko.
Chelsea itafanya mazungumzo na kiungo wa kati Conor
Gallagher huku Newcastle na Crystal Palace zote zikionesha nia
ya kumsajili msimu uliopita .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu