TMA yazungumzia hali ya hewa mwezi huu.

In Kitaifa

 

Mamlaka ya hali ya hewa Nchini kupitia kwa mkurugenzi Mkuu wake Dk Agnes Kijazi, amekutana na wanahabari kutoa taarifa kuhusu mweleko wa mvua za vuli.

Dk kijazi amesema mvua za vuli mwaka 2017 zinatarajiwa kuanza mwezi September katika maeneo mengi ya ziwa viktoria, na mwezi october 2017 katika ukanda wa Pwani.

Ameongeza kwa kusema baadaye kwenye mwezi November katika maeneo ya nyanda za juu kaskazini mashariki.

Aidha Dk Kijazi amesema ongezeko la mvua linatarajiwa katika miezi ya November na December 2017, pia vipindi virefu vya ukavu vinatarajiwa kujitokeza zaidi katika mwezi october 2017.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu