TMA yazungumzia hali ya hewa mwezi huu.

In Kitaifa

 

Mamlaka ya hali ya hewa Nchini kupitia kwa mkurugenzi Mkuu wake Dk Agnes Kijazi, amekutana na wanahabari kutoa taarifa kuhusu mweleko wa mvua za vuli.

Dk kijazi amesema mvua za vuli mwaka 2017 zinatarajiwa kuanza mwezi September katika maeneo mengi ya ziwa viktoria, na mwezi october 2017 katika ukanda wa Pwani.

Ameongeza kwa kusema baadaye kwenye mwezi November katika maeneo ya nyanda za juu kaskazini mashariki.

Aidha Dk Kijazi amesema ongezeko la mvua linatarajiwa katika miezi ya November na December 2017, pia vipindi virefu vya ukavu vinatarajiwa kujitokeza zaidi katika mwezi october 2017.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu