TRA Mkoani Manyara yatangaza kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima.

In Kitaifa

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoani Manyara, imetangaza nia ya kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima,wanaopata mapato kuanzia shilingi milioni nne kwa mwaka.
Hayo yamesemwa na Meneja wa TRA mkoani humo Joseph Mtandika, akibainisha kuwa kutokana na taratibu za kisheria, mauzo ya mifugo na mazao yao wanatakiwa kulipa kodi.
Amesema wapo wakulima na wafugaji ambao hupata mapato mengi kutokana na mauzo ya bidhaa zao lakini hujificha kulipa kodi.
Hata hivyo amesema changamoto waliyonayo ni juu ya kuwabaini watu wanaotakiwa kulipia kodi wenye sifa za namna hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu