TRA Mkoani Manyara yatangaza kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima.

In Kitaifa

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoani Manyara, imetangaza nia ya kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima,wanaopata mapato kuanzia shilingi milioni nne kwa mwaka.
Hayo yamesemwa na Meneja wa TRA mkoani humo Joseph Mtandika, akibainisha kuwa kutokana na taratibu za kisheria, mauzo ya mifugo na mazao yao wanatakiwa kulipa kodi.
Amesema wapo wakulima na wafugaji ambao hupata mapato mengi kutokana na mauzo ya bidhaa zao lakini hujificha kulipa kodi.
Hata hivyo amesema changamoto waliyonayo ni juu ya kuwabaini watu wanaotakiwa kulipia kodi wenye sifa za namna hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu