TRA Mkoani Manyara yatangaza kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima.

In Kitaifa

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoani Manyara, imetangaza nia ya kukusanya kodi kutoka kwa wafugaji na wakulima,wanaopata mapato kuanzia shilingi milioni nne kwa mwaka.
Hayo yamesemwa na Meneja wa TRA mkoani humo Joseph Mtandika, akibainisha kuwa kutokana na taratibu za kisheria, mauzo ya mifugo na mazao yao wanatakiwa kulipa kodi.
Amesema wapo wakulima na wafugaji ambao hupata mapato mengi kutokana na mauzo ya bidhaa zao lakini hujificha kulipa kodi.
Hata hivyo amesema changamoto waliyonayo ni juu ya kuwabaini watu wanaotakiwa kulipia kodi wenye sifa za namna hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu