Trump apuuza wito wa kansela wa Ujerumani.

In Kimataifa

Rais wa Marekani Donald Trump amepuuziia wito wa kansela wa Ujerumani Angela Merkel wakusitisha vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

Merkel amekosoa mvutano unaoendelea kati ya nchi hizo mbili, akisema kwamba kuendeleza vita vya maneno kati yao si njia sahihi.

Trump amesema kwamba Marekani imejitayarisha na ipo tayari kuchukua hatua za kijeshi iwapo Korea Kaskazini itafanya mashambulizi, amewaambia waandishi habari kwamba kazi ya Merkel ni kuisemea Ujerumani.

Wizara ya mambo ya nje ya China imesema nchi yake ambayo ni mshirika mkuu wa kibiashara kwa Korea Kaskazini, inatarajia pande zote mbili zitachukue jitihada zaidi katika kupunguza mgogoro unaoendelea kwa sasa na kujenga uaminifu wa pamoja, kuliko kuonyeshana nguvu.

Trump atakutana na rais wa China Xi Jinping hapo Ijumaa na watajadili vikwazo vya kisiasa vya ziada dhidi ya taifa hilo ambalo limejitenga na dunia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu