Trump azidisha makali ya mvutano kuhusu mradi wa nyuklia.

In Kimataifa

Rais Donald Trump wa Marekani anazidisha makali ya mvutano kuhusu mradi wa nyuklia wa Korea Kaskazini, akisema huenda onyo lake la awali dhidi ya serikali ya mjini Pyongyang “halikuwa kali vya kutosha”.

Rais Trump ameyatoa matamshi hayo akiwa nyumbani kwake, Bedminster, katika jimbo la New-Jersey.

Trump amesema Korea Kaskazini inabidi iingiwe na taharuki kubwa hata kama inafikiria uwezakano wa kuihujumu Marekani au washirika wake, akitetea vitisho alivyotoa Jumanne iliyopita dhidi ya serikali ya Kim Jong-Un.

Hata hivyo rais Trump aliyeionya Pyongyang kuwa itakabiliwa na “moto na ghadhabu kubwa pamoja na nguvu ambazo ulimwengu haujawahi kushuhudia”. Ameitolea wito kwa mara nyengine China izidi kuishinikiza Korea Kaskazini, ingawa pia alisema Marekani iko tayari kwa mazungumzo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu