Tumaneno maneno twa leo twenye ufundi ndani yake, kutoka kwa mafundi wa kucheza na maneno tunasema.

In Kitaifa, Mahusiano

 

Linapokuja swala la mafanikio zipo sifa na mambo mengi ambayo, yanakuwa yanatajwa katika kumfikisha mtu ili aweze kufanikiwa.

Hata hivyo pamoja na sifa hizo ipo sifa moja muhimu sana, ambayo kwa mtafuta mafanikio kama unayo ni lazima utafanikiwa.

Sifa hii muhimu ya kimafanikio sio nyingine bali ni sifa ya uvumilivu.

Unaweza ukawa unajituma kweli, una nidhamu binafsi na unafanya juhudi za kuwekeza kila wakati, lakini ukikosa uvumilivu huwezi kufanikiwa.

Uvumilivu ni kitu cha muhimu sana kama umeamua kuishi maisha ya ndoto zako.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu