Tumaneno maneno twa leo twenye ufundi ndani yake, kutoka kwa mafundi wa kucheza na maneno tunasema.

In Kitaifa, Mahusiano

 

Linapokuja swala la mafanikio zipo sifa na mambo mengi ambayo, yanakuwa yanatajwa katika kumfikisha mtu ili aweze kufanikiwa.

Hata hivyo pamoja na sifa hizo ipo sifa moja muhimu sana, ambayo kwa mtafuta mafanikio kama unayo ni lazima utafanikiwa.

Sifa hii muhimu ya kimafanikio sio nyingine bali ni sifa ya uvumilivu.

Unaweza ukawa unajituma kweli, una nidhamu binafsi na unafanya juhudi za kuwekeza kila wakati, lakini ukikosa uvumilivu huwezi kufanikiwa.

Uvumilivu ni kitu cha muhimu sana kama umeamua kuishi maisha ya ndoto zako.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu