Uchaguzi Liberia kuelekea duru ya pili.

In Kimataifa, Siasa

Nyota wa zamani wa soka George Weah na makamu wa rais Joseph Boake, wanaelekea duru ya pili ya uchaguzi kwenye uchaguzi wa rais nchini Liberia.
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi nchini Liberia kura zote zimehesabiwa na George Weah anaongoza kwa asilimia 39 huku Boakai akiwa wa pili kwa asilimia 29.
Mshindi katika kinyang’anyiro hicho analazimika kujipatia asilimia 50 ya kura zote ili aweze kutangazwa mshindi wa uraisi hivyo kutokana na wagombea wote kushindwa kufikisha asilimia 50 ya kula zilizopigwa inalazimika kuwepo kwa uchaguzi wa marudio.
George Weah ambaye ni muafrika wa kwanza kushinda tuzo ya mpira wa miguu yaa Ballon D’Or na Joseph Boakai wote walikuwa wametabiriwa kuwa wangeshinda duru ya kwanza lakini matokeo yamekuwa tofauti kwani wote wameshindwa kupata ushindi wa asiliamia 50.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu