Uchaguzi mkuu kutafanyika siku ya Jumatano.

In Kitaifa


Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC,imetangaza tarehe na utaratibu
wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020.
Tangazo hilo limetolewa hii leo na mwenyekiti wa tume hiyo
Jaji mstaafu Semistocles Kaijage,na kusema kuwa uchaguzi huo
utafanyika siku ya juma tano tarehe 28 mwezi wa 10 2020


Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu