Ufaransa hivi majuzi ulipata pigo la kupata Visa baada ya mamlaka ya Rwanda kukataa ombi lao

In Kimataifa

Ujumbe wa kidiplomasia wa taifa la Ufaransa hivi majuzi ulipata pigo la kupata Visa baada ya mamlaka ya Rwanda kukataa ombi lao walilowasilisha ambalo lilishirikisha picha ya bendera ya zamani ya taifa hilo ambayo ilitumika wakati wa mauaji ya halakiki ya 1994 kulingana na ripoti za jarida la Jeune Afrique.

Gazeti hilo limeelezea hatua hiyo kama vuta ni kuvute ya kwanza katika uhusiano kati ya utawala huo mpya wa Ufaransa na Kigali.

Linasema kuwa mnamo terehe 9 na 10 ujumbe rasmi wa Ufaransa ulitarajiwa kusafiri kuelekea Cameroon kupitia Kigali .

Ujumbe huo ulishirikisha Mkurugenzi wa eneo la Afrika na bahari Hindi katika wizara ya maswala ya kigeni ,mkurugenzi wa eneo la jangwa la Sahara chini ya idara ya maendeleo nchini Ufaransa pamoja na mshauri wa kiuchumi ambao walitarajiwa kukutana na waziri wa mswala ya kigeni nchini Rwanda Luoise Mushikwabo mjini Kigali.

Mapema mwezi Julai, waziri wa maswala ya kigeni nchini Ufaransa aliwasilisha ombi la Visa kwa ubalozi wa Rwanda mjini Paris pamoja na ujumbe wao.

Katika kila taifa walilotembea kulikuwa na picha ya bendera.

Bendera ya Rwanda iliochapishwa ilikuwa kamili na rangi tatu za kijani, manjano na nyekundu ikiwa na herufi kubwa ya R katikati.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu