Ukame na njaa Somalia vyaongeza visa vya uharamia katika pwani ya bahari ya hindi.

In Kimataifa

Hali ya ukame na baa la njaa nchini Somalia, inaelezwa mojawapo ya sababu ya kuongezeka visa vya uharamia katika Pwani ya bahari hindi nchini Somalia.

Jenerali wa jeshi la Marekani Thomas Wald Hauser amesema utafiti wao umeonesha kuwa ugumu wa maisha umesbabisha visa hivyo kuongezeka zaidi hasa mwezi uliopita.

Meli na boti za mizigo zimekuwa zikilengwa na maharamia, hivi karibuni walifanikiwa kuwateka mabaharia kutoka India.

Nchi ya Somalia imeendelea kukumbwa na matatizo ya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe, hasa mahafuko yanayoendeshwa na kundi la Al Shabab na kusababisha maelfu ya raia kuwa masikini zaidi.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu