Ukame na njaa Somalia vyaongeza visa vya uharamia katika pwani ya bahari ya hindi.

In Kimataifa

Hali ya ukame na baa la njaa nchini Somalia, inaelezwa mojawapo ya sababu ya kuongezeka visa vya uharamia katika Pwani ya bahari hindi nchini Somalia.

Jenerali wa jeshi la Marekani Thomas Wald Hauser amesema utafiti wao umeonesha kuwa ugumu wa maisha umesbabisha visa hivyo kuongezeka zaidi hasa mwezi uliopita.

Meli na boti za mizigo zimekuwa zikilengwa na maharamia, hivi karibuni walifanikiwa kuwateka mabaharia kutoka India.

Nchi ya Somalia imeendelea kukumbwa na matatizo ya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe, hasa mahafuko yanayoendeshwa na kundi la Al Shabab na kusababisha maelfu ya raia kuwa masikini zaidi.

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu