Ukosefu wa kituo cha afya katika vijiji vya Kata ya Malolo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, huwalazimu wananchi kutembea zaidi ya saa nane, kwenda kutibiwa mikoa jirani ya Iringa au Morogoro.

In Kitaifa

Ukosefu wa kituo cha afya katika vijiji vya Kata ya Malolo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, huwalazimu wananchi kutembea zaidi ya saa nane, kwenda kutibiwa mikoa jirani ya Iringa au Morogoro.

Hali hiyo imedaiwa kuchangia wanawake wengi kujifungulia nyumbani, na hata kupata madhara mbalimbali ukiwamo ugonjwa wa fistula, kutokana na kukaa na uchungu wa uzazi wa muda mrefu.

Diwani wa Kata ya Malolo Maulid Mangile, amesema hali hiyo imekuwa ikiwaathiri zaidi wajawazito hasa wanapougua usiku na watu wengine wanapougua ghafla.

Mangile amesema kutokana na hali hiyo, akinamama wajawazito wamekuwa wakijifungulia njiani na maporini, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu