UN: Mashambilizi 17 yamefanywa katika vituo vya afya nchini Libya

In Kimataifa

Mpango wa amani wa Umoja wa Mataifa nchini Libya imesema matukio 17 ya mashambulizi dhidi ya vituo vya afya yamerekodiwa katika mji wa Tripoli na viunga vyake, eneo ambalo kumeshuhudiwa mapigano ambayo yamekuwa yakisababisha mauwaji kwa zaidi ya mwaka sasa. Mbabe wa kivita Khalifa Haftar, anadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Libya na Aprili mwaka uliopita kuanzisha mashambulizi ya kuudhibiti mji wa Tripoli, ambao ni makao makuu ya serikali inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa. Serikali hiyo inawabebesha lawama ya mashambulizi hayo majeshi tiifu kwa Haftar, lakini msemaji wa wapiganaji hao amekanusha kuhusika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu