UNHCR wazindua mpango mpya wa mambo ya Fedha Rwanda

In Kimataifa

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa mataifa UNHCR kwa kushirikiana na serikali ya Rwanda, wamezindua mpango mpya wenye lengo la kuwashirikisha wakimbizi kwenye mambo ya fedha.

Mpango huo uliozinduliwa siku moja kabla ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wakimbizi, unatarajiwa kuwawezesha wakimbizi kujitegemea kiuchumi kwa kutumia miradi ya kujipatia fedha, kupitia misaada na mikopo.

Waziri wa Rwanda anayeshughulikia usimamizi wa Majanga na Wakimbizi Seraphine Mukan tabana, amesema fedha hizo zitatolewa kwa mfuko wa mzunguko.

Mwakilishi wa UNHCR nchini Rwanda Bw Saber Azam amesema hatua hiyo ya Rwanda ,inafuatia ahadi iliyotolewa na serikali ya Rwanda kwenye mkutano wa kilele uliofanyika mjini New York, kwamba itaruhusu wakimbizi kuwa sehemu ya maendeleo ya uchumi na jamii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu