UNHCR wazindua mpango mpya wa mambo ya Fedha Rwanda

In Kimataifa

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa mataifa UNHCR kwa kushirikiana na serikali ya Rwanda, wamezindua mpango mpya wenye lengo la kuwashirikisha wakimbizi kwenye mambo ya fedha.

Mpango huo uliozinduliwa siku moja kabla ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wakimbizi, unatarajiwa kuwawezesha wakimbizi kujitegemea kiuchumi kwa kutumia miradi ya kujipatia fedha, kupitia misaada na mikopo.

Waziri wa Rwanda anayeshughulikia usimamizi wa Majanga na Wakimbizi Seraphine Mukan tabana, amesema fedha hizo zitatolewa kwa mfuko wa mzunguko.

Mwakilishi wa UNHCR nchini Rwanda Bw Saber Azam amesema hatua hiyo ya Rwanda ,inafuatia ahadi iliyotolewa na serikali ya Rwanda kwenye mkutano wa kilele uliofanyika mjini New York, kwamba itaruhusu wakimbizi kuwa sehemu ya maendeleo ya uchumi na jamii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu